Vacancy title:
17 Mhifadhi Wanyamapori Daraja La III
Jobs at:
United Republic of Tanzania
Deadline of this Job:
7th December 2018
Duty Station:
Tanzania
Summary
Date Posted: 27th November 2018 , Base Salary: Not Disclosed , Employment Type: Full-Time
JOB DETAILS:
Jamhuri ya muungano wa tanzania ofisi ya rais sekretarieti ya ajira katika utumishi wa umma kumb.
Na ea.7/96/01/j/220 Tangazo la nafasi za kazi
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Wizara ya Maliasili na Utalii na Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi, anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi wazi za kazi 118 kama inavyooneshwa katika tangazo hili.
Wizara Ya Maliasili Na Utal II
Mhifadhi Wanyamapori Daraja La III – NAFASI 17
MAJUKUMU YA KAZI
SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha IV au kidato cha VI wenye Astashahada ya Uhifadhi Wanyamapori (Technician Certificate in Wildlife Management) kutoka Chuo cha Taaluma ya Wanyamapori Pasiansi au chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali. 7
MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS B2
MASHARITI YA JUMLA KWA KAZI ZOTE.
Job application procedure
HAYATAFIKIRIWA.
Maombi yote yatumwe kwenye mfumo wa kielektroniki wa Ajira (Recruitment Portal) kupitia anuani ifuatayo; http://portal.ajira.go.tz/ (Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya Sektretarieti ya Ajira kwa kuingia sehemu iliyoandikwa ‘Recruitment Portal’)
MUHIMU: KUMBUKA KUAMBATISHA BARUA YAKO YA MAOMBI YA KAZI ILIYOSAINIWA PAMOJA NA VYETI VYA ELIMU. ANUANI YA BARUA HIYO IELEKEZWE KWA
KATIBU,
OFISI YA RAIS,
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA
S.L.P 63100 DAR ES SALAAM.
Join a Focused Community on job search to uncover both advertised and non-advertised jobs that you may not be aware of. A jobs WhatsApp Group Community can ensure that you know the opportunities happening around you and a jobs Facebook Group Community provides an opportunity to discuss with employers who need to fill urgent position. Click the links to join. You can view previously sent Email Alerts here incase you missed them and Subscribe so that you never miss out.