Vacancy title:
Afisa Mikopo
Jobs at:
Nyumba SACCOS LTDDeadline of this Job:
02 January 2021
Summary
Date Posted: Monday, December 21, 2020 , Base Salary: Not Disclosed
JOB DETAILS:
Nyumba SACCOS LTD is the Savings and Credit society situated opposite National Stadium along Mandela Road.
Afisa Mikopo -NAFASI .
SIFA ZA AFISA MIKOPO
• Awe na shahada ya uhasibu, ushirika na masoko na usimamizi wa fedha kutoka
• vyuo vinavyotambuliwa na serikali.
• Cheti cha umahiri wa uhasibu watapewa kipaumbele
• Uzoefu wa kufanya kazi kwenye vyama vya ushirika wa Akiba na Mikopo
• Awe anajua kutumia Kompyuta.
• Awe Mtanzania.
• Awe na umri wa miaka 25 hadi 40
Job Skills: Not Specified
KAZI
• Kutunza na kutoa fomu za maombi ya mikopo
• Kupitia fomu za maombi ya mikopo kama zimekidhi vigezo
• Kuwasilisha mikopo pamoja na fomu za maombi ya mikopo ya maendeleo, na elimu kwenye kikao cha kamati ya mikopo Kuandaa orodha ya mikopo iliyo kuzaliwa kwa kujaza fomu ya maombi ya mko po na kukabidhi kwa Mhasibu kwa ajili ya malipo.
• Kupokea dhamana za mikopo na kuziwasilisha kwa Meneja tayari kwa ushauri na uhakiki kama ni halisi. Vandan wilson in Iramati ya miliona
Job Education Requirements: Not Specified
Job Experience Requirements: Not Specified
Work Hours: 8
{module 312}
Job application procedure
To apply, please send your application to info@nyumbasaccos.co.tz address Chairman, Nyumba SACCOS Ltd, P.O.Box 45674 Dar es Salaam. The deadline for submitting the application is 02nd January, 2020.
All Jobs
{module 316}
Join a Focused Community on job search to uncover both advertised and non-advertised jobs that you may not be aware of. A jobs WhatsApp Group Community can ensure that you know the opportunities happening around you and a jobs Facebook Group Community provides an opportunity to discuss with employers who need to fill urgent position. Click the links to join. You can view previously sent Email Alerts here incase you missed them and Subscribe so that you never miss out.