2 Specialist Doctors Grade II job at Southern Regional Referral Hospital
Website :
5 Days Ago
Linkedid Twitter Share on facebook

Kumb. Na. 10.207/327/03/50

Uongozi wa Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini unatangaza nafasi 54 za Ajira ya Mkataba wa kujitolea kwa kipindi cha mwaka mmoja (1) kama ifuatavyo: -

1.0. Daktari Bingwa Daraja la Il - (NAFASI 02)

KITIJO CHA KAZI: Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kusini

MASHARTI YAAJIRA•. Kujitolea, Mkataba wa Mwaka 1

Kuajiriwa mwenye Shahada ya Uzamili ya Udaktari kutoka Vyuo Vikuu/Vyuo vinavyotambuliwa na Serikali na kupata usajili kutoka Baraza la Madaktari Tanganyika (Medical Council of Tanganyika).

KAZI

Daktari Bingwa

MWAJIRI

Hos itali a Rufaa Kanda a Kusini

MUDA WA MAOMBI

28/06/2024 - 14/07/2024

KAZI NA MAJUKUMU

Kufanya kazi zote za matibabu ya Kibingwa.

Kuchunguza, kufuati|ia na kuzuia milipuko ya magonjwa

Kupanga na kutathimini huduma za afya katika eneo lake la kazi.

Kufundisha wanafunzi na watumishi waliopo kwenye eneo la kazi.

Kubuni na kutayarisha mikakati ya kuinua ubora wa huduma ya fani yake

Kushiriki, kuhakiki na kuboresha huduma za afya (medical audit and quality improvement)

Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu uzoefu na u•uzi wake

1.2 MSHAHARA NA POSHO

Malipo ya mshahara yatazingatia Mwongozo wa Afya wa Taifa wa kujitolea wa Julai, 2021 (National Health Workers Volunteering Guideline). Aidha posho nyingine zitalipwa kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi wa Umma.

2.0. Daktari Daraja la Il - (NAFASI 09)

KITIJO CHA KAZI: Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kusini MASHARTI YAAJIRA•. Kujitotea, Mkataba wa Mwaka 1

2.1 SIFA

Kuajiriwa mwenye Shahada ya Udaktari kutoka Vyuo VikuuNyuo vinavyotambuliwa na Serikali waliomaliza mafunzo ya kazi"lnternship" ya muda usiopungua miezi kumi na miwili na kupata usajili kutoka Baraza la Madaktari Tanganyika (Medical Council of Tanganyika).

KAZI

Daktari

MWAJIRI

Hos itali a Rufaa Kanda a Kusini

MUDA WA MAOMBI

28/06/2024 - 14/07/2024

KAZI NA MAJUKUMU

Kufanya kazi zote za matibabu hospitalini zinazohusiana na magonjwa mbalimbali yakiwemo magonjwa ya watoto, magonjwa ya akina mama na upasuaji wa kawaida na wa dharura.

Kutoa na kusimamia elimu ya afya pamoja na kuboresha afya ya jamii katika Wilaya na Mikoa au eneo lake la kazi.

Kuchunguza, kufuatilia na kuzuia milipuko ya magonjwa

Kufundisha wanafunzi na watumishi waliopo kwenye eneo la kazi

Kusimamia na kuelekeza wafanyakazi walio chini yake

Kubuni na kuendesha utafiti na kusambaza matokeo

Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake.

2.2 MSHAHARA NA POSHO

Malipo ya mshahara yatazingatia Mwongozo wa Afya wa Taifa wa kujitolea wa Julai, 2021 (National Health Workers Volunteering Guideline). Aidha posho nyingine zitalipwa kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi wa Umma.

3.0. Afisa Muuguzi Msaidizi Daraja la II — (NAFASI 08)

KITIJO CHA KAZI: Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini

MASHARTI YAAJIRA: Kujitolea, Mkataba wa Mwaka 1

Kuajiriwa wenye Stashahada (Diploma) ya Uuguzi, ya muda usiopungua miaka miwili kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali, waliosajiliwa na Baraza la Wauguzi na Wakunga Tanzania.

KAZI

Afisa Muuguzi Msaidizi

MWAJIRI

Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini

MUDA WA MAOMBI

28/06/2024 - 14/07/2024

KAZI NA MAJUKUMIJ

Kutoa huduma za uuguzi

Kukusanya takwimu muhimu za afya.

Kuwaelekeza kazi wauguzi walio Chini yake

Kuelimisha wagonjwa na jamii kuhusu matatizo yao ya kiafya

Kutoa huduma za kinga na uzazi

Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake

3.2 MSHAHARA NA "OSHO

Malipo ya mshahara yatazingatia Mwongozo wa Afya wa Taifa wa kujitolea wa Julai, 2021 (National Health Workers Volunteering Guideline). Aidha posho nyingine zitalipwa kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi wa Umma.

4.0. Mteknolojia Vifaa Tiba Daraja la Il -                     01)

KITUO CHA KAZI: Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini MASHARTI YAAJIRA: Kujitolea, Mkataba wa Mwaka 1

4.1.

Kuajiriwa wenye cheti cha kidato cha nne na cheti cha ufundi cha mteknolojia Vifaa Tiba ngazi ya Stashahada (Diploma) kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali.

KAZI

Mteknoloiia Vifaa Tiba Daraja la Il

MWAJIRI

Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini

MUDA WA MAOMBI

28/06/2024 - 14/07/2024

KAZI NA MAJI.JKUMU

Kufanya kazi zote za fani ya vifaa tiba

Kufanya kazi ya kutengeneza vifaa tiba

Kuandaa mahitaji ya vifaa tiba vya hospitali

Na majukumu mengine utakayopangiwa na Mkuu wako wa kazi

4.2. MSHAHARA NA POSHO

Malipo ya mshahara yatazingatia Mwongozo wa Afya wa Taifa wa kujitolea wa Julai, 2021 (National Health Workers Volunteering Guideline). Aidha posho nyingine zitalipwa kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi wa Urnma.

5.0. Mteknolojia Maabara Daraja la Il - (NAFASI 01)

KITUO CHA KAZI: Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini MASHARTI YAAJIRA: Kujitolea, Mkataba wa Mwaka 1

5.1. SIFA

Kuajiriwa wenye cheti cha kidato cha nne na cheti cha ufundi cha mteknolojia Maabara ngazi ya Stashahada (Diploma) kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali.

KAZI

Mteknolo•ia Maabara

MWAJIRI

Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini

MUDA WA MAOMBI

28/06/2024 - 14/07/2024

KAZI NA MAJUKUMU

Kufanya kazi zote za fani ya Maabara

Kufanya kazi ya kuchukua sampuli za wagonjwa.

Kupima sampuli na kurudisha majibu kwa daktari.

Kuandaa mahitaji ya vitenganishi.

Na majukumu mengine atakayopangiwa na Mkuu wake wa kazi.

5.2. MSHAHARA NA POSHO

Malipo ya mshahara yatazingatia Mwongozo wa Afya wa Taifa wa kujitolea wa Julai, 2021 (National Health Workers Volunteering Guideline). Aidha posho nyingine zitalipwa kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi wa Umma.

6.0.      Fundi Sanifu Umeme Daraja la Il - (NAFASI 01)

KITUO CHA KAZI: Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini MASHARTI YAAJIRA: Kujitolea, Mkataba wa Mwaka 1

6.1.       SIFA

Kuajiriwa mwenye cheti cha kidato cha nne na cheti cha ufundi Sanifu Umeme kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali.

KAZI

Fundi Sanifu Umeme

MWAJIRI

Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini

MUDA WA MAOMBI

28/06/2024 - 14/07/2024

 

KAZI NA MAJUKUMU

Kufanya kazi zote za fani ya umeme kwenye majengo yote ya Taasisi

Kufanya kazi ya kutengeneza vifaa vya umeme.

Kufanya usanifu miradi midogo ya umeme, kusimamia jinsi ya kufunga mashine mpya za umeme zinawekwa kwenye majengo yote ya Taasisi.

Na majukumu mengine atakayopangiwa na Mkuu wake wa kazi.

       

6.2. MSHAHARA NA POSHO

Malipo ya mshahara yatazingatia Mwongozo wa Afya wa Taifa wa kujitolea wa Julai, 2021 (National Health Workers Volunteering Guideline). Aidha posho nyingine zitalipwa kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi wa Umma.

7.0. Fundi Sanifu Viyoyozi (AC) Daraja la Il - (NAFASI 01)

KITUO CHA KAZI: Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini MASHARTI YAAJIRA: Kujitolea, Mkataba wa Mwaka 1

7.1. SFA

Kuajiriwa mwenye cheti cha kidato cha nne na cheti cha ufundi kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali.

KAZI

Fundi Sanifu Kiyoyozi (AC

MWAJIRI

Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini

MUDA WA MAOMBI

28/06/2024 - 14/07/2024

KAZI NA MAJUKUMU

Kufanya kazi zote za fani ya Viyoyozi katika Hospitali Kufanya kazi ya kutengeneza vifaa vya Viyoyozi na Majokofu.

Kufanya usanifu miradi midogo ya ujenzi wa miundombinu ya hospitali, kusimamia jinsi ya kufunga mashine mpya za viyoyozi na majokofu yanayowekwa kwenye majengo yote ya Taasisi.

Na majukumu mengine utakayopangiwa na Mkuu wako wa kazi.

7.2. MSHAHARA NA POSHO

Malipo ya mshahara yatazingatia Mwongozo wa Afya wa Taifa wa kujitolea wa Julai, 2021 (National Health Workers Volunteering Guideline). Aidha posho nyingine zitalipwa kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi wa Umma.

8.0    Fundi Sanifu Bomba Daraja la Il - (NAFASI 01)

KITUO CHA KAZI: Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini MASHARTI YAAJIRA: Kujitolea, Mkataba wa Mwaka 1

8.1. SIFA

Kuajiriwa mwenye cheti cha kidato cha nne na cheti cha ufundi sanifu Bomba kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali.

KAZI

Fundi Sanifu Bomba

MWAJIRI

Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini

MUDA WA MAOMBI

28/06/2024 - 14/07/2024

KAZI NA MAJUKIJMU

Kufanya kazi zote za fani ya bomba kwenye majengo yote ya Hospitali

Kufanya kazi ya kutengeneza vifaa vya bomba.

Kufanya usanifu miradi midogo ya maji pamoja na kuzibua mifumo ya maji taka.

Na majukumu mengine atakayopangiwa na Mkuu wake wa kazi.

8.2. MSHAHARA NA POSHO

Malipo ya mshahara yatazingatia Mwongozo wa Afya wa Taifa wa kujitolea wa Julai, 2021 (National Health Workers Volunteering Guideline). Aidha posho nyingine zitalipwa kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi wa Umma.

9.0. Msaidizi wa chumba cha Kuhifadhia Maiti - (NAFASI 02)

KITIJO CHA KAZI: Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini

MASHARTI YAAJIRA•. Kujitolea, Mkataba wa Mwaka 1

9.1. SIFA

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne waliopata mafunzo ya Afya katika fani ya afya na utunzaji wa maiti

KAZI

Msaidizi wa chumba cha kuhifadhia Maiti

MWAJIRI

Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini

MUDA WA MAOMBI

28/06/2024 - 14/07/2024

KAZI NA MAJUKUMU

Kufanya usafi wa chumba cha kuhifadhia maiti

Kupokea, kuosha na kutunza maiti.

Kusaidia kufanya uchunguzi wa maiti

Kazi nyingine atakazopangiwa na kiongozi wake wa kazi.

9.2. MSHAHARA NA POSHO

Malipo ya mshahara yatazingatia Mwongozo wa Afya wa Taifa wa kujitolea wa Julai, 2021 (National Health Workers Volunteering Guideline). Aidha posho nyingine zitalipwa kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi wa Umma.

10.0. Msaidizi wa Chumba cha Kufulia (Dobi) — (NAFASI 01) KITUO CHA KAZI: Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini

MASHARTI YAAJIRA•. Kujitolea, Mkataba wa Mwaka 1

10.1. SIFA

Kuajiriwa mhitimu wa kidato cha nne aliyepata mafunzo ufuaji nguo

KAZI

Kufua Nguo za Wagonjwa

MWAJIRI

Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini

MI-IDA WA MAOMBI

28/06/2024 - 14/07/2024

KAZI NA MAJUKUMU

Kufua nguo za wagonjwa

Kunyoosha nguo za wagonjwa

Kukunja nguo za wagonjwa pamoja na kutunza vifaa na mashine

Kazi nyingine atakazopangiwa na kiongozi wake wa kazi.

10.2. MSHAHARA NA POSHO

Malipo ya mshahara yatazingatia Mwongozo wa Afya wa Taifa wa kujitolea wa Julai, 2021 (National Health Workers Volunteering Guideline). Aidha posho nyingine zitalipwa kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi wa Umma.

11.0. Msaidizi wa             - (NAFASI 05)

KITUO CHA KAZI: Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini

MASHARTI YAAJIRA: Kujitolea, Mkataba wa Mwaka 1

11.1. SIFA

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne waliopata mafunzo ya mwaka mmoja kaika fani ya Afya kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali.

KAZI

Msaidizi wa Afya

MWAJIRI

Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini

MUDA WA MAOMBI

28/06/2024 - 14/07/2024

KAZI NA MAJUKUMU

Kufanya usafi wa vifaa vya kazi, usafi wa wodi na mazingira

Kusaidia wa on'wa wen e ulemavu na wasioÁ iweza

   

katika kwenda haja (kubwa na ndogo) na kuoga Kumsaidia kumlisha mgonjwa asiyejiweza

Kuchukua nguo za mgonjwa kuzipeleka kwenda kufuliwa

Kufanya shughuli nyingine atakazopangiwa na kiongozi wake wa kazi.

 
         

11.2. MSHAHARA NA POSHO

Malipo ya mshahara yatazingatia Mwongozo wa Afya wa Taifa wa kujitolea wa Julai, 2021 (National Health Workers Volunteering Guideline). Aidha posho nyingine zitalipwa kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi wa Umma.

12.0. Afisa Tehama Daraja la Il - (NAFASI 01)

KITUO CHA KAZI: Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini

MASHARTI YAAJIRA: Kujitolea, Mkataba wa Mwaka 1

12.1. SIFA

Kuajiriwa mwenye Shahada ya masomo ya Kompyuta katika moja ya fani zifuatazo; Uhandisi wa Kompyuta/ Mitandao/ Mawasiliano na Elektroniki au Matengenezo ya Mifurno ya TEHAMA kutoka kwenye Taasisi/Vyuo vinavyotarnbuliwa na Serikali.

KAZI

Afisa Tehama

 

MWAJIRI

Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini

 

MUDA WA MAOMBI

28/06/2024 - 14/07/2024

 

KAZI NA MAJUKUMU

1. Sehemu ya miundombinu (Hardware and Networks):

a)               Kufanya ukaguzi wa ubora wa vifaa vya TEHAMA na kurekebisha ipasavyo,

b)               Kufanya matengenezo TEHAMA, madogo madogo ya vifaa

c)                Kufanya matengenezo ya miundombinu ya TEHAMA,

d)               Kukagua         na kutambua vifaa vinavyohitaji matengenezo.

2. Sehemu Mfumo ya Habari (Information Systems);

a)              Kufanya ukaguzi wa ubora wa programu- tumizi na mifumo ya habari,

b)              Kufanya marekebisho madogo madogo katika program - tumizi,

c)               Kuchukua hatua za kiusalama kulinda program - tumizi na mifumo ya habari,

d)              Kutoa huduma kwa watumiaji wa program - tumizi na mifumo a habari

 
   

e) Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na kiongozi wake wa kazi zinazoendana na sifa na fani yake.

         

12.2. MSHAHARA NA POSHO

Malipo ya mshahara yatazingatia Mwongozo wa Afya wa Taifa wa kujitolea wa Julai, 2021 (National Health Workers Volunteering Guideline). Aidha posho nyingine zitalipwa kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi wa Umma.

13.0. Afisa Tehama Msaidizi Daraja la Il - (NAFASI 02)

KITIJO CHA KAZI: Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini

MASHARTI YAAJIRA: Kujitolea, Mkataba wa Mwaka 1

13.1. SIFA

Kuajiriwa wenye Stashahada ya masomo ya Kompyuta katika moja ya fani zifuatazo; Uhandisi wa Kompyuta/ Mitandao/ Mawasiliano na Elektroniki au Matengenezo ya

Mifumo ya TEHAMA kutoka kwenye Taasisi/Vyuo vinavyotambuliwa na Serikali

KAZI

Afisa Tehama Msaidizi

MWAJIRI

Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini

MUDA WA MAOMBI

28/06/2024 - 14/07/2024

KAZI NA MAJUKUMU

1. Sehemu ya miundombinu (Hardware and Networks):

a)                Kufanya ukaguzi wa ubora wa vifaa vya TEHAMA na kurekebisha ipasavyo.

b)               Kufanya matengenezo TEHAMA, madogo madogo ya vifaa.

c)                Kufanya matengenezo ya miundombinu ya TEHAMA.

d)               Kuchukua hatua za kiusalama kulinda vifaa vya TEHAMA.

e)                Kukagua na    kutambua vifaa vinavyohitaji matengenezo.

f)                  Kutoa huduma kwa watumiaji wa vifaa vya TEHAMA, Kusimamia ukaguzi na ufungaji wa vifaa vipya vya TEHAMA.

g)                Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkubwa wake wa kazi zinazoendana na sifa na fani yake.

2. Sehemu Mfumo ya Habari (Information Systems);

a) Kufanya ukaguzi wa ubora wa programu- tumizi na mifumo a Habari.

 

b)              Kufanya marekebisho madogo madogo katika program

— tumizi.

c)               Kuchukua hatua za kiusalama kulinda program - tumizi na mifumo ya Habari.

d)              Kutoa hudurna kwa watumiaji wa program - tumizi na mifumo ya Habari.

e)              Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na kiongozi wake wa kazi zinazoendana na sifa na fani ake.

 
       

13.2. MSHAHARA NA POSHO

Malipo ya mshahara yatazingatia Mwongozo wa Afya wa Taifa wa kujitolea wa Julai, 2021 (National Health Workers Volunteering Guideline). Aidha posho nyingine zitalipwa kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi wa Urnma.

14.0. Afisa Lishe Daraja la Il - (NAFASI 01)

KITUO CHA KAZI: Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini

MASHARTI YAAJIRA: Kujitolea, Mkataba wa Mwaka 1

14.1. SIFA

Kuajiriwa mwenye Shahada ya lishe kutoka Chuo kinacho tambuliwa na Serikali.

KAZI

Afisa Lishe Il

MWAJIRI

Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini

MUDA WA MAOMBI

28/06/2024 - 14/07/2024

KAZI NA MAJUKUMU

Kuandaa bajeti ya chakula cha wagonjwa

Kukagua na kupitia orodha ya wagonjwa wenye uhitaji wa chakula maalumu.

Kutoa elimu kwa wagonjwa juu ya mlo kamili. Kushauri ndugu juu ya mlo kamili kwa ajili ya mgonjwa wao.

Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na kiongozi wake wa kazi zinazoendana na sifa na fani ake

14.2. MSHAHARA NA POSHO

Malipo ya mshahara yatazingatia Mwongozo wa Afya wa Taifa wa kujitolea wa Julai, 2021 (National Health Workers Volunteering Guideline). Aidha posho nyingine zitalipwa kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi wa Urnma.

15.0. Afisa Habari Daraja la Il - (NAFASI 01)

KITUO CHA KAZI: Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini MASHARTI YAAJIRA•. Kujitolea, Mkataba wa Mwaka 1

15.1. SFA

Kuajiriwa mwenye Shahada ya Uandishi wa Habari au sifa inayolingana nayo kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali.

KAZI

Afisa Habari

MWAJIRI

Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini

MUDA WA MAOMBI

28/06/2024 - 14/07/2024

KAZI NA MAJUKUMU

•  Kukusanya na kuandika Habari

•  Kupiga picha.

Kuandaa picha za maonyesho.

Kuandaa majarida na mabango (Poster).

Kuandaa vijarida na Vipeperushi.  Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na kiongozi wake wa kazi zinazoendana na sifa na fani ake

15.2. MSHAHARA NA POSHO

Malipo ya mshahara yatazingatia Mwongozo wa Afya wa Taifa wa kujitolea wa Julai, 2021 (National Health Workers Volunteering Guideline). Aidha posho nyingine zitalipwa kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi wa Umma.

16.0. Afisa Hesabu Daraja la Il - (NAFASI 02)

KITUO CHA KAZI: Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini MASHARTI YAAJIRA•. Kujitolea, Mkataba wa Mwaka 1

16.1. SFA

Kuajiriwa wenye elimu ya kidato cha nne au Sita na Shahada ya Uhasibu kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali,

KAZI

Kuandaa taarifa za hesabu

MWAJIRI

Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini

MUDA WA MAOMBI

28/06/2024 - 14/07/2024

KAZI NA MAJUKUMU

Kufanya kazi zote za zinazohusu malipo mbalimbali Kushiriki kuandika taarifa ya mapato na matumizi

Kushiriki kuandaa taarifa za maduhuli.

Kushiriki kufan a usuluhisho wa hesabu za benki na

   

nyingine zinazo husiana na maswala ya fedha Kuandaa taarifa mbalimbali za mishahara

Kufanya kazi nyingine za fani yake atakazo pangiwa na mkuu wake wa kazi.

 
       

16.2. MSHAHARA NA POSHO

Malipo ya mshahara yatazingatia Mwongozo wa Afya wa Taifa wa kujitolea wa Julai, 2021 (National Health Workers Volunteering Guideline). Aidha posho nyingine zitalipwa kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi wa Urnma.

17.0. Afisa Masoko Daraja la Il - (NAFASI 01)

KITUO CHA KAZI: Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini

MASHARTI YAAJIRA: Kujitolea, Mkataba wa Mwaka 1

17.1. SIFA

Kuajiriwa mwenye cheti cha kidato cha nne au cha sita na Shahada ya masomo ya huduma kwa wateja kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali.

KAZI

Kuitan aza Hos itali

MWAJIRI

Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini

MUDA WA MAOMBI

28/06/2024 - 14/07/2024

KAZI NA MAJUKUMU

Kuwapokea wateja na kuwaelekeza maeneo ya kupata huduma.

Kupokea maoni na changamoto za wateja.

Kushauri uongozi namna bora ya kuboresha huduma kwa wateja. Kuitangaza Taasisi kwenye        vyombo/maeneo mbalimbali.

Na majukumu mengine atakayopangiwa na Mkuu wake wa kazi.

17.2. MSHAHARA NA POSHO

Malipo ya mshahara yatazingatia Mwongozo wa Afya wa Taifa wa kujitolea wa Julai, 2021 (National Health Workers Volunteering Guideline). Aidha posho nyingine zitalipwa kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi wa Umma.

18.0. Afisa Mipango Daraja la Il - (NAFASI 01)

KITUO CHA KAZI: Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini

MASHARTI YAAJIRA: Kujitolea, Mkataba wa Mwaka 1

18.1. SIFA

Kuajiriwa mwenye elimu ya kidato cha nne au cha sita na Shahada ya Mipango kutoka

Chuo kinachotambuliwa na Serikali.

KAZI

Kuandaa mi an o a hos itali

MWAJIRI

Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini

MUDA WA MAOMBI

28/06/2024 - 14/07/2024

KAZI NA MAJUKUMU

Kufanya kazi zote za mipango ya hospitali.

Kuandaa bajeti ya hospitali.

Kufanya usanifu miradi midogo ya hospitali.

Kuandaa miradi mbalimbali ya hospitali.

Kuandaa taarifa kwa kila robo,

Na majukumu mengine atakayopangiwa na Mkuu wake wa kazi.

18.2. MSHAHARA NA POSHO

Malipo ya mshahara yatazingatia Mwongozo wa Afya wa Taifa wa kujitolea wa Julai, 2021 (National Health Workers Volunteering Guideline). Aidha posho nyingine zitalipwa kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi wa Umma.

19.0. Msaidizi wa Kumbukumbu Daraja la Il - (NAFASI 05)

KITUO CHA KAZI: Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini

MASHARTI YAAJIRA: Kujitolea, Mkataba wa Mwaka 1

19.1. SIFA

Kuajiriwa wenye elimu ya kidato cha nne au cha sita na stashahada ya kawaida katika fani ya utunzaji wa kumbukumbu katika mojawapo wa fani za afya, masijala, mahakama na ardhi.

KAZI

Msaidizi wa Kumbukumbu

MWAJIRI

Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini

MUDA WA MAOMBI

28/06/2024 - 14/07/2024

KAZI NA MAJUKUMU

Kutafuta kumbukumbu /nyaraka/mafaili yanayohitajiwa na wasomaji.

Kudhibiti upokeaji, uandikaji wa kumbukumbu na nyaraka.

Kuchambua, kuorodhesha na kupanga kumbukumbu na nyaraka katika reki, masijala /vyumba vya kuhifadhia kumbukumbu.

Kuweka kumbukumbu (barua, nyaraka n.k) katika mafaili.

Na majukumu mengine atakayopangiwa na Mkuu wake wa kazi.

19.2. MSHAHARA NA POSHO

Malipo ya mshahara yatazingatia Mwongozo wa Afya wa Taifa wa kujitolea wa Julai, 2021 (National Health Workers Volunteering Guideline). Aidha posho nyingine zitalipwa kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi wa Umma.

20.0. Afisa Manunuzi Msaidizi Daraja la Il - (NAFASI 01)

KITIJO CHA KAZI: Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini MASHARTI YAAJIRA: Kujitolea, Mkataba wa Mwaka 1

20.1. SIFA

Kuajiriwa mwenye cheti cha kidato cha nne au cha sita na stashahada ya manunuzi kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali.

KAZI

Afisa Manunuzi Msaidizi Dara•a la Il

MWAJIRI

Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini

MUDA WA MAOMBI

28/06/2024 - 14/07/2024

KAZI NA MAJUKUMU

Kufanya manunuzi mbalimbali

Kuandaa taarifa ya kila robo

Kuandaa mpango wa manunuzi

Kuingiza mahitaji ya manunuzi katika mfumo wa manunuzi (NEST)

Na majukumu mengine atakayopangiwa na Mkuu wake wa kazi.

20.2. MSHAHARA NA POSHO

Malipo ya mshahara yatazingatia Mwongozo wa Afya wa Taifa wa kujitolea wa Julai, 2021 (National Health Workers Volunteering Guideline). Aidha posho nyingine zitalipwa kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi wa Umma.

21.0. Afisa Ustawi wa Jamii Msaidizi Daraja la Il - (NAFASI 01)

KITUO CHA KAZI: Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini MASHARTI YAAJIRA: Kujitolea, Mkataba wa Mwaka 1

21.1. SIFA

Kuajiriwa mwenye elimu ya kidato cha nne au cha sita na stashahada ya ustawi wa jamii kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali.

KAZI

Afisa ustawi wa Jamii Msaidizi Dara-a la Il

MWAJIRI

Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini

MUDA WA MAOMBI

28/06/2024 - 14/07/2024

KAZI NA MAJUKUMU

Kupokea maombi ya misamaha na kuiratibu

Kuandaa taarifa ya robo.

Kuratibu na kufuatilia ulipaji wa madeni

Kuwajengea uwezo ndugu namna ya kulipa deni la mgonjwa

Na majukumu mengine atakayopangiwa na Mkuu wake wa kazi.

21.2. MSHAHARA NA POSHO

Malipo ya mshahara yatazingatia Mwongozo wa Afya wa Taifa wa kujitolea wa Julai, 2021 (National Health Workers Volunteering Guideline). Aidha posho nyingine zitalipwa kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi wa Umma.

22.0. Karani wa Data (Data Clerk) - (NAFASI 01)

KITUO CHA KAZI: Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini

MASHARTI YAAJIRA: Kujitolea, Mkataba wa Mwaka 1

22.1. SIFA

Kuajiriwa mwenye elimu ya Kidato cha Nne au cha Sita na Stashahada katika mojawapo ya fani yoyote kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali, uzoefu usio pungua miaka mitatu katika fani ya ukarani wa data.

KAZI

Kuin iza taarifa za Wa on-wa katika Mifumo

MWAJIRI

Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini

MUDA WA MAOMBI

28/06/2024 - 14/07/2024

KAZI NA MAJUKUMU

Kufanya kazi zote za kuingiza madai katika mifumo mbalimbali

Kuandaa vibali mbalimbali vya vipimo

Kuchakata mahesabu ya madai ya kila mwezi

Na majukumu mengine atakayopangiwa na Mkuu wake wa kazj.

22.2. MSHAHARA NA POSHO

Malipo ya mshahara yatazingatia Mwongozo wa Afya wa Taifa wa kujitolea wa Julai, 2021 (National Health Workers Volunteering Guideline). Aidha posho nyingine zitalipwa kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi wa Umma.

23.0. Dereva Daraja la Il - (NAFASI 02)

KITUO CHA KAZI: Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini

MASHARTI YAAJIRA: Kujitolea, Mkataba wa Mwaka 1

23.1. SIFA

Kuajiriwa wenye cheti cha kidato cha nne (iv) na leseni ya Daraja la E au Cl ya uendeshaji wa magari ambayo amefanyia kazi kwa muda usiopungua mwaka mmoja bila kusababisha ajali. Awe amehudhuria mafunzo ya msingi ya uendeshaji wa magari (basic driving course) yanatolewa na Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali. Waombaji wenye cheti cha majaribio ya Ufundi, watafikiriwa kwanza.

KAZI

Dereva

MWAJIRI

Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini

MUDA WA MAOMBI

28/06/2024 - 14/07/2024

KAZI NA MAJUKUMU

Kukagua gari kabla na baada ya safari ili kubaini hali ya usalama wa gari.

Kuwapelekea watumishi maeneo mbalimbali kwenye safari za kikazi.

Kufanya matengenezo madogo madogo ya gari.

Kukusanya na kusambaza nyaraka mbalimbali

Kujaza na kutunza taarifa za safari zote katika daftari la safari (Log book)

Kufanya usafi wa gari kila wakati

Kufanya kazi nyingine kadri atakavyoelekezwa na

Msimamizi wake.

23.2. MSHAHARA NA POSHO

Malipo ya mshahara yatazingatia Mwongozo wa Afya wa Taifa wa kujitolea wa Julai, 2021 (National Health Workers Volunteering Guideline). Aidha posho nyingine zitalipwa kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi wa Umma.

       
       


24.0. Mpishi - (NAFASI 01)

KITUO CHA KAZI: Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini

MASHARTI YAAJIRA•. Kujitolea, Mkataba wa Mwaka 1

24.1. SFA

Kuajiriwa mwenye elimu ya kidato cha nne na astashahada/Stashahada ya fani ya upishi kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali.

KAZI

U ishi

MWAJIRI

Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini

MUDA WA MAOMBI

28/06/2024 - 14/07/2024

KAZI NA MAJUKUMU

Kufanya kazi zote za fani ya Upishi katika Hospitali

Kuandaa mahitaji ya chakula cha wagonjwa

Kufanya usafi maeneo ya kuandalia chakula na vyombo. Kuhudumia watumishi/wagonjwa kwa masuala ya chakula.

Na majukumu mengine atakayopangiwa na Mkuu wake wa kazi.

24.2. MSHAHARA NA POSHO

Malipo ya mshahara yatazingatia Mwongozo wa Afya wa Taifa wa kujitolea wa Julai, 2021 (National Health Workers Volunteering Guideline). Aidha posho nyingine zitalipwa kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi wa Umma.

25.0. Mtunza Bustani - (NAFASI 02)

KITUO CHA KAZI: Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini

MASHARTI YAAJIRA: Kujitolea, Mkataba wa Mwaka 1

25.1. SIFA

Kuajiriwa wenye elimu ya darasa ta saba / kidato cha nne na uzoefu wa kutunza mazingira na bustani zaidi ya miaka miwili katika Hospitali.

KAZI

Kutunza bustani

MWAJIRI

Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini

MUDA WA MAOMBI

28/06/2024 - 14/07/2024

KAZI NA MAJUKUMU

Kuandaa kitalu cha maua

Kufanya usafi maeneo ya bustani pamoja na kumwagilia maua

Na majukumu mengine atakayopangiwa na Mkuu wake wa kazi.

25.2. MSHAHARA NA POSHO

Malipo ya mshahara yatazingatia Mwongozo wa Afya wa Taifa wa kujitolea wa Julai, 2021 (National Health Workers Volunteering Guideline). Aidha posho nyingine zitalipwa kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi wa Umma.

26.0 MASHARTI YA JUMLA KWA WAOMBAJI WOTE

Waombaji wote wawe raia wa Tanzania wenye umri usiopungua miaka 18 na usiozidi miaka 45.

ll.        Waombaji wawasilishe barua ya maombi na nakala zifuatazo:

  • Wasifu binafsi (CV).

Cheti cha kuzaliwa.

  • Kitambulisho cha Taifa (NIDA)
  • Vyeti vya Elimu ya Sekondari/Msingi
  • Vyeti vya Utaalam katika fani husika.

Usajili (Full Registration) na Leseni hai kwa kada husika.

  • Muombaji aambatanishe picha ndogo (Passport size) mbili (2) kwenye barua ya maombi

Vyeti vilivyotolewa na Bodi ya mitihani za nje ya Tanzania vya elimu ya kidato cha nne (CSE) au elimu ya kidato cha sita (ACSE) vinapaswa kuthibitishwa na Baraza la Mitihani (NECTA).

27.0 JINSI YA KUWASILISHA MAOMBI

Maombi yawasilishwe kufikia au kabla ya tarehe 14.07.2024 saa tisa na nusu alasiri (1530HRS, kwa njia moja kati ya zifuatazo:

 Mtandao kwa barua pepe szrhôafya.go.tz ii. Kwa mkono ifike katika Ofisi ya Masjala ya Wazi Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini (Hakikisha unasaini katika kitabu baada kukabidhl). i i i . Kwa Posta kupitia Anuani ifuatayo: -

Mkurugenzi Mtendaji,

Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini,

S.L.P. 272,

MTWARA.

Limetolewa na,

Dkt. Herbert G Masigati

MKURUGENZI MTENDAJI

HOSPITALI YA RUFAA KANDA YA KUSINI

MTWARA

Job Info
Job Category: Accounting/ Finance jobs in Tanzania
Job Type: Full-time
Deadline of this Job: Sunday, June 30 2024
Duty Station: Dar es Salaam
Posted: 01-07-2024
No of Jobs: 1
Start Publishing: 01-07-2024
Stop Publishing (Put date of 2030): 01-07-2077
Apply Now
Notification Board

Join a Focused Community on job search to uncover both advertised and non-advertised jobs that you may not be aware of. A jobs WhatsApp Group Community can ensure that you know the opportunities happening around you and a jobs Facebook Group Community provides an opportunity to discuss with employers who need to fill urgent position. Click the links to join. You can view previously sent Email Alerts here incase you missed them and Subscribe so that you never miss out.

Caution: Never Pay Money in a Recruitment Process.

Some smart scams can trick you into paying for Psychometric Tests.
Advanced
CV Writing